Tafuta katika Blogu Hii

Jumatano, 8 Mei 2019

JIFUNZE HAPA KU BETI KISANYANSI BUREEE!!!!!!



JIFUNZE HAPA KU BETI KISANYANSI BUREEE!!!!!!


1.Mambo muhimu kujifunza wakati wa kuanza ku beti

Kama wewe ni mgeni  na ndo kwanza unaanza ku beti  na haufahamu kwa kuazia, basi jua hapa upo mahala sahihi kujifunza na kuwa bingwa.Ku beti mtandaoni (online betting) ni rahisi sana kuliko unavyo  fikiria, hapa chini vime orodheshwa vipengele muhimu vi 5 vyakujua kwa mtu yeyote anaye anza ku beti :

 



 

1.Uelewa mzuri wa dhamira ya ubashiri matokeo  ya michezo mtandaoni.

2. Fahamu aina tofauti za beti.

3.Elewa ni jinsi gani  biashara ya ubashiri matokeo mtandaoni ina endeshwa

4. Chagua kampuni bora ya kubashiri utakayo tumia kucheza.

5.Fahamu baadhi ya vidokezo vya kucheza beti .

 

2. Uelewa mzuri wa dahmira ya ubashiri matokeo ya michezo mtandaoni

Beti katika michezo ni mjumuisho wa jumla ya kiasi cha fedha kinacho husiana na matokeo baada ya mechi au tukio la michezo.

Unapo beti kwenye michezo,unachopata ni kiasi cha pesa ulicho weka kwenye hiyo beti (stake) zidisha na  muamala (Odds) za hiyo beti ulio cheza .

Kiasi cha fedha unacho weka kwenye beti kinaitwa hisa "Stake".

"odds" Hii ni namba inayo patikana kwa uwiano wa malipo kamili unayopata nay ale ya hisa (stake) uliyo weka na inakua katika namba za desimali

Faida katika beti ni kiasi ulicho pata baada ya kushinda beti utoe kiasi cha fedha ulicho weka kwenye beti (hisa), hii inwasilisha kiasi cha mwanzoni ulichowekeza

Chukulia mafano huu rahisi,: Umwamua ku beti mechi kati ya Barcelona na arsenal.. Kampuni imeipa Barcelona kipaumbele kushinda mechi hii kwa mfano, basi hapa kwenye hii mechi kuna mambo matatu muhimu  matatu unaweza kushiriki katika beti hii:

Barcelona anashinda: 1.4

Mechi itaisha bila mshindi (droo)  4.2

Arsenal anashinda 5.8

Mfano kama umeweka beti tzs 1000 kuwa Barcelona anashinda mchi hii, odds za barca kushinda ni 1.4 kwa maana hii ukishinda beti hii utapata jumla ya kiasi cha fedha 1000x1.4  = 1400Tzs. Kwa maana hyo faida yako katika beti hii chukua jumla ya pesa uloshinda toa kiasi cha fedha ulicho weka kwenye beti hii (1400-100=400). Faida yako ni 400Tzs kama uliweka 1000 arsenal anashinda, beti yako ikipita utapata jumla ya fedha 1000x5.8=5800. Faida ya beti hii ni sawa na 5800-1000=4800,.Kama  hukupatia ubashiri wako unapoteza hela yote, 1000 uliyoweka kama beti .

 

 

3. Kufahamu aina tofauti za beti

Kuweza kuwa bingwa wa ku beti  ni muhimu ufahamu aina mbalimbali za ku beti, kila aina ya beti tutakayo zungumzia hapa ina masharti na vigezo, kabda hujachagua beti aina gani unataka ufanye unashauriwa soma kwa makini maelezo, vigezo vya kushirik na sharia ya beti husika.Hapa chini tutajifunza aina tofauti ya beti zinazotolewa na kampuni mbali mbali za ku beti.

Beti moja(The single bet)

Hii ni aina maarufu sana ya beti kwa sasa, kwenye aina hii ya beti mchezaji ana weza kubashiri matokeo  chaguzi tatu tu,( Ushindi timu 1, sare, ushindi timu 2)

Beti ya matokeo matokeo mara 2 (The double chance bet)

Kwenye betii hii kama inavyo jieleza yenyewe, inakupa uhuru wa kuchagua matokeo mawili katika timu moja, (Timu 1 kushinda au droo,Ushindi timu 2 au droo, Ushindi kati ya timu mojawapo W1 au W2)

Beti mjumuisho au mkeka (Combos bet or combined bet)

Kwenye aina hii hapa, ni ngumu kidogo ukilinginishana mbili zilizotangulia kwani inajumuisha beti katika mechi Zaidi ya moja kwa wakati mmoja, hapa ushindi katika hii beti utategemea matokeo ya jumla katika mechi zote ulizo chagua. Na  Odds pia ni jumla ya kila mechi uliyo ingiza katika mechi hii wakati wa ychaguzi

Humu utakutana na maneno "over/under". Tafsiri yake ni over=juu ya…, (Zaidi)  under= chini ya…(pungufu) inategemeana na tukio lilotajwa katika mechi hii, kwa mfano magoli..

Beti matokeo kamili (The exact score bet)

Kwenye aina hii ya beti inabidi mchezaji atabiri matokeo kamili  katika mechi husika..

Bei kipindi cha kwanza/  mechi nzima (The Halftime / Fulltime bet)

Kwenye beti hii inakupa ruhusa kubashiri matokeo katika  meci nzima au kipindi cha kwanza cha mchezo.

Beti ya uso kwa uso (The Face to Face bet)

Beti ya aina hii haihusishi matokeo ya timu bali ni mtu mmoja mmoja, mfano mechi ya box. Unachotakiwa kufanya hapa ni kutabiri matokeo nani anashinda kati ya wawili wapambanao..

Handicap bets

Katika beti hii kampuni ya beti inaipa timu dhaifu uongozi ambapo utaongezewa kwenye matokeo ya mwisho. Beti hapa itahusika katika matokeo aina tatu ( ushindi timu 1, ushindi timu 2, droo).

Asian handicap betting

Hii ni kama beti iliyo zungumziwa hapo juu, tofauti kwenye hii asia handicap matokeo ya droo hayajumuishwi (hayahusiki)

 

 

4.Elewa ni jinsi gani biashara ya kubashiri matokeo mtandaoni inaendeshwa

Kabda hujachagua kampuni yak u beti ,tizama kwanza ni kwanjia gani kampuni inajishindia

 

Kwa uelewa Zaidi tuchague mechi ambayo imepewa matokeo  sawa kama droo.(hakuna mshindi). Kwa kawaida odds katika huu uchaguzi ni 1.9. mchezaji anapo beti 1000 tzs akishinda anapata faida 900Tzs.Kampuni itaingia mfkoni na kumpatia mtu mwenye bahati aliyeshinda 1900Tzs..

Hapa nataka nikupe mwongozo kwamba uliposhinda hii beti kwa droo sio kwamba umeikomoa kampuni, kampuni hata siku moja haishindwi, hapa mnashindana wenyewe kwa wenyewe. Wewe  umepatia mechi imeisha droo, mpinzani wako hapa ni mchezaji mwenzako aliyechagua matokeo ya ushindi kwa moja wapo ya timu. kwa Kiswahili kirahisi watu walopoteza hela kwa kusema W1 au W2 wameipa kampuni fedha nyingi na kampuni inachukua kiasi hicho kikubwa ilichopata, inakulipa wewe ulosema mechi ni droo..

Hii inatufundisha ili uweze kushinda beti inabidi uichambue kwa makini mechi unayotaka ku beti..

 

5. Chagua kampuni bora utayo tumia ku beti.

Uchaguzi wa kampuni bora yaku beti

Kuna kampuni nyingi sana za ku beti katika mtandao, kuchagua na kuweza kufahamu kwamba una beti katika kampuni madhubuti inaweza kuwa tatizo sana kwa wachezaji.

Kukusaidia kufanya uchaguzi sahihi tume ainisha baadhi ya vigezo muhimu hapa chini :

Uchaguzi kampuni bora ya kubashiri matokeo mtandaoni

Kuweza kujihakikishia usalama wa fedha zako unazo shinda kwenye beti, ni muhimu kuchagua kampuni ambayo ipo kwenye biashara  hii muda mrefu na pia iwe safi kwa maoni ya wachezaji..

Kwa ushauri tizama hapa Ratings of bookmakers.

Aina za michezo iliyopo

Kabda ya kujiunga kwenye kampuni yaku beti, tunakushaurib tizama ni michezo mibgapa ambayo imejumuishwa kwenye hiyo kampuni.

Matukio ya michezo

Baadhi ya kampuni hutoa matukio ya kubeti Zaidi ya 100 kwenye beti moja hii inafanya beti iwe na ladha zaidi.

Mrahaba (Odds) za kuvutia

Odds ndio zinzofanya beti uliyo fanya iwe na faida pindi unapo shinda, kwa mantiki hii inakulazimu kuchagua kampuni inayo toa odds (mrahaba) mkubwa

Bonansi

Kampuni nyingi za kubeti mtandaoni zinatoa aina mbali mbali za bonansi kwa wateja wao, itakubidi  kutizama kampuni inayo toa bonansi bora Zaidi kwani hii itakusaidia kuongeza kiasi cha fedha kwa kutumia hizi bonansi

Huduma kwa wateja

Kupata majibu na utatuzi wa maswali mengi itakulazimu kuchagua kampuni ambayo inatoa huduma hii kwa masaa 24/7 na iwe inatumia njia nyingi Zaidi za mawasiliano.

 

6. Fahamu baadhi ya vidokezo vya ku beti

Ukiondoa bahati, kuna vidokezo na mbinu tofauti vingi sana ambazo ukizifahamu itakusaidia kuongeza uwezo wa kushinda na kujiongezea kipato kwa ku beti.

Hapa ni baadhi ya vidokezo muhimu kufahamu:

- Beti katika kiasi kidogo cha mechi

Uwezekano wa kushinda beti yako unapungua kutokana na kuongezeka kiasi cha mechi unazo weka kwenye mkeka. Tunashauri usizidishe meche 5 kwenye mkeka. Kama ukichagua kuanzia mechi 5 kushuka chini nafasi yako ya kushinda mkeka ni kubwa zaidi-

Unapo beti chagua odds zilizo za wastani

Hapa tunamaanisha huna haja ya kuchagua odd (mrahaba) mkubwa sana ambapo ki uhalisia kushinda nafasi ni finyu sana, jiepushe kutumia mrahaba (odds) zinazozidi 2..

- Kuwa mvumilivu

Sisi sote tunahitaji kushinda kila siku,, Ila siku zote mshindi ni aliye na uvumilivu.Jiepushe ku beti katika kila mchezo au kila tukio unaloliona mbele yako, jaribu ku beti katika mchezo unao uelewa vizuri.

- Fuatilia utafiti wa timu kwa undani zaidi

Kabda hujachagua mechi ya ku beti, tunakushauri tizama mirahaba (odds), matokeo ya kila timu kwa mechi zake za nyuma,

- fuatilia ukuaji wa klabu

Kwa kutizama ukuaji wa mirahaba, unaweza kupata njia ya kuwea beti yenye tija Zaidi.

- Tumia kwa busara mtaji wako

Hata siku moja usiache fedha unazoshinda kwenye akaunti yako ya kubetia

 

 

 Share


 Tweet


INFO






MOST POPULAR BLOG ARTICLES

JIFUNZE HAPA KU BETI KISANYANSI BUREEE!!!

Mambo muhimu kujifunza wakati wa kuanza ku beti

05.06.2018

JINSI YA KUJIUNGA NA 1XBET TANZANIA

1xBet ni kampuni ya mikeka ambayo ni bora na iliyokidhi vigezo vya ...

31.05.2018

TANGAZO TANGAZO, TANGAZO WADAU WOTE 1XBET.

kutokana na Maombi ya wadau wengi, kwa members wetu wote wa magroup...

07.06.2018

JINSI GANI UNAPATA BONAS YA KUJIUNGA 1XBET.?

JINSI GANI UNAPATA BONAS YA KUJIUNGA 1XBET.?

01.06.2018

 

 

King Mafla furniture design


Lang:                                                                    English                                                                    Kiswahili                                                             

Njia nyepesi za kubeti na kushinda Mahela Mengi


PRIMARY MENU

Njia nyepesi za kubeti na kushinda Mahela Mengi

Kwanza kabisa ninaomba nieleweke ktk hili, kama ambavyo Serikali imeagiza kwa mujibu wa sheria kuwa watoto wote (umri chini ya miaka 18 kubashirihawaruhusiwi kubashiri, hivyo basi sitegemei maelezo haya yakatumiwa na mtoto chini ya miaka 18.

Kama Umetimiza umri wa miaka 18 na kuendelea tafadhali tumia maelezo haya kama yalivyo, ukiyakiuka ukafeli au kuliwa pesa zako sitahusika.

Kama ambavyo watu wengi wamezoea kubeti karibu kila siku bila mafanikio, basi leo ninakuletea maujanja fulani hivi halafu twende sawa.

Kutokana na kuwa maelezo haya hayajakopiwa sehemu yoyote, basi ninaomba nikupe sheria zangu kwanza kabla hata haujaanza kubeti.

Sheria na Onyo kabla ya Kubeti

Kuanza kubeti kwa njia hii haijalishi kama unafahamu timu, au historia ya timu, sababbu utatumia akili za Software maalum


Unapobeti katika makampuni yoyote haupaswi kuwa unaongelea mikeka ya watu wengine kwa kuwatania kuwa hatashinda (utajichafulia nyota ya ushindi)


Katika kila mkeka hautakiwi kuweka timu zaidi ya 4


Hakikisha kila timu unayoweka umeitoa ktk Software hii nitakayokuonyesha hapa chini


Kama ndio mara yako ya kwanza kubeti na haujazoea kuliwa pesa zako basi ninakushauri kubeti kwa kiwango kidogo sana kwa kila mkeka, kwa mfano unaweza kuweka shilingi mia tano (500/=) kwa kila mkeka


Sheria ngumu ni hii hapa, hautakiwi kuwaza kushinda pesa nyingi kama mtaji wako ni mdogo


Aindha kwa wale wenye mitaji mikubwa wanaweza kuweka hadi kiwango cha laki na nusu kwa mkeka mmoja


Hakikisha kila mkeka unaoweka hauzidi Odds 5 (yaani ukizidisha points zote za timu zako ulizozipa ushindi basi zisizidi point 5)


Hautakiwi kubeti kila siku kwa sababu kuna siku zingine hakuna timu za ushindi zinazocheza


Ukitaka kubeti na kula kila siku basi utaweza endapo utakuwa mvumilivu kwa kiasi kidogo utakachokuwa unakipata


Ukibeti usimuonyeshe mtu mkeka wako (kwa mfano ukiwa unasafiri halafu watu wakakuombea ajali basi utasafiri kwa wasiwasi) same applied kwenye mikeka, kuna watu wana mikosi, yaani huwa hawashindi, na watu hao wakitazama mkeka wako wakakosoa timu 1 tu basi utapata wakati mgumu sana kushinda


Mwisho kabisa, Kubeti ni Siri na sio Matangazo


Baada ya Sheria, sasa twende kwenye hatua za uchaguzi wa timu

Kwanza kabisa unatakiwa uwe na smartphone au uazime ya mtu mwingine


Fungua playstore


Tafuta application imeandikwa (Football Prediction) chini yake utaona neno (SauzanaProd)


Ukiandika hilo neno Football Prediction kwa usahihi basi itatokea ya kwanza kabisa na picha ya ni hii hapa chini,


Baada ya kuipata sasa install na uifungue


Ukifungua ndani utaona imefunguka kama picha hii hapa chini inavyoonyesha,



Kama inavyofahamika kuwa (1) ashinde wa nyumbani, (2) ashinde wa ugenini na (x) ni droo, sasa basi ukiangalia picha hiyo hapo juu utaona kuna sehemu imekolezwa rangi nyekundu, na ndani ya hiyo rangi unaona namba


Kwa mfano Mechi ya kwanza hapo anacheza (Santiago) dhidi ya (Colo Colo) ukiangalia kulia mwao utaona upande wa (1) kuna namba 23, upande wa (2) kuna namba 50, maana yake hizo ni asilimia za Ushindi, yaani hapo wanakwambia kuwa (Colo Colo anaushindi kwa asilimia 50)


Onyo ⇒ huwa tunachukua timu zenye asilimia kuanzia 70 na kuendelea, na ukipuuza kwenye hili basi tusilaumiane


Kwa mfano subiri siku anacheza (Real Madrid, Barcelona, Bayern, Borusia Dortmund, Atletico Madrid, PSG, na wengine wengi tu ambao huwa wanaitwa wa uhakika) kisha njoo huku kwenye hii application angalia kwa umakini sana, kama wamepewa Asilimia chini ya 70 basi ujue wana game ngumu na wanaweza kutoa suluhu au kufungwa


Zipo timu nyingi sana ambazo utakuta zina asilimia 70 na kuendelea, basi usiwe na tamaa sana, fuata sheria zangu, kuwa kila mkeka weka timu 3 au 4 baaaaas, kisha weka mia tano yako kula elfu 3 au 5, na kwa wale wenye mitaji basi mtavuna


Kuna ile tabia ya kujaza timu nyingi, ndio hiyo pia ni nzuri lakini unatakiwa kuifanya kwa kutumia Megamix, angalia vizuri hapo kwenye picha hiyo juu utaona chini ya saa pale kuna kama kigaloni (lahasha hicho sio kigaloni bali ni kalenda, hivyo basi ukikibonyeza tu kitakuletea mechi nyingine za siku 3 mbele


Basi, chagua timu zenye asilimia 70 na kuendelea kisha ziunganishe (hata zikifika 6,7 au 8 sio mbaya) kisha weka ktk mkeka mmoja, weka mpunga na iwe siri yako


Siku ukikosa timu hizo za asilimia 70 basi chukua mwisho 60 baaaas


Tafadhali usikiuke sheria zangu kwani utamchangia Muhindi, Mchina na Mzungu mpaka siku yako ya Mwisho unapoiaga betting


Nani anasema betting ni kamari?

Kamari = Unatumia jasho lako na kwa wakati huohuo unapata au unakosa ulichokitolea jasho

Bahati nasibu = Hautoki jasho wewe, anaetoka jasho ni mwingine na utapata au kukosa ulichokibahatisha baada ya muhusika kushinda au kushindwa

Ukibeti kwa akili zako hizohizo za kila siku ambazo hazina kitu kipya utaumia kichwa, ninakushauri ubeti baada ya kuangalia timu kwenye hii application kwani kila siku timu zinasajili wachezaji na uwezo unaongezeka, na hii application inaonyesha uwezo wa timu kwa kutumia huo mfumo wa asilimia.

Kama hupendi kubeti au unachukulia kubeti ni kamari basi kwenye hii posti pita kama haujaona kitu, tuendelee na maisha ya kila siku.

Powered by Max IT Club

Rudi Juu Ya Page

Rundi Mwanzo

 

Advertisements


REPORT THIS AD

REPORT THIS AD

Like na Kushare Site Yetu

SHARE


Telegram


WhatsApp


Share


30 THOUGHTS ON “NJIA NYEPESI ZA KUBETI NA KUSHINDA MAHELA MENGI”

JOSIAH

September 1, 2016 at 10:42 am

Hahaha,,, nilkua naitafuta kitambo xaana,,, Naxhukukru Max,,

Liked by 1 person

Reply

MAXDULLAH

September 6, 2016 at 9:30 am

pamoja ana Josiah

Liked by 1 person

Reply


VITUS

December 20, 2016 at 10:32 am

Naomba unisaidie ukisha bet kwenye simu pesa unaipataje na kwa njia gani

Like

Reply

VITUS

December 20, 2016 at 10:53 am

Naomba unitumie hapahapa maana email inagoma kuangalia

Like

Reply

BENJAMIN

October 10, 2018 at 10:36 pm

Brother mambo vp

Like

Reply


KELVINHO HUNJU

December 31, 2016 at 12:58 pm

Ahsante sana blaza tisha xana mzazi

Like

Reply


LENUS MSIGALA

January 15, 2017 at 4:18 pm

Tupo pamoja max,endelea kutulisha chakul cha bongo zetu.Respect to u brothr

Like

Reply

HERRY MBILINYI

January 31, 2017 at 4:17 pm

Sasa inakuwaje kuripia sasa

Like

Reply


MIKEPERRES

June 12, 2017 at 11:36 am

hakuna program nyingine kaka?

Like

Reply


JOHN VEDASTO

August 9, 2017 at 11:14 pm

sasa ukibet unazipataje izo ela maan sijaelewa mm

Like

Reply

SALUM

August 29, 2017 at 3:20 pm

Namba ya simu uliyo tumia kujisajilia katka kampuni ya kubetia Mf….Mbet ndipo utakapo shinda iyo hiyo hiyo watakayo kutumia pesa….

Like

Reply


NTALE

August 18, 2017 at 9:17 pm

nice one

Like

Reply


DANFORD NGAJENI

September 5, 2017 at 1:29 pm

Najisajilije na pesa baada ya kubeti naitumaje kwa njia ya simu?

Like

Reply


MESHAKI MTENGA

September 7, 2017 at 8:44 am

Yeeeeee tunazidi kuliwa tuu hamna lolote

Like

Reply


PASCHAL MAHONA

September 15, 2017 at 11:54 am

pamoja sana mzazi

Like

Reply


JOSEPHAT MTWEVE

September 24, 2017 at 12:39 pm

Pamoja sana mkuu,

Like

Reply


YOBOY

October 2, 2017 at 1:10 pm

ok sawaaa

Like

Reply


ASAJILE

December 17, 2017 at 2:19 pm

Mmh hiyo app niliwai kuitumia kitambo flan nikaona ina wrong xana

Like

Reply


BABA SHAQUR

January 3, 2018 at 3:55 pm

Betting ni umaskini,tafuteni kazi xingine za kufanya..haya maneno yasiwafariji,we cheza 1000/- yako mi naitia kwenye kibubu,siku ukila na mie navunja kibubu changu tuone.

Like

Reply


EMANUEL ATILIO

March 19, 2018 at 12:07 pm

umewsomeka sana kaka asante

Like

Reply


HUSSIN KAKOSSO

July 6, 2018 at 10:08 am

sawa mkuu na alama za kubeti zinakuwaje

Like

Reply


MANDELA

July 21, 2018 at 12:46 am

Sorry naombeni tuwe tunachambua na 12 perfect

Like

Reply


TYSON

August 27, 2018 at 11:52 am

nataka kuifanya beti kamanjia yakunipatia kipato naomba unisaidie mbunu zaidi kaka

Like

Reply


MWANAMALUNDI TZ

September 10, 2018 at 8:25 am

UMESOMEKA MKUU IKO SAWA KABISA

Like

Reply


ADAM

October 29, 2018 at 3:19 pm

Hamna kitu hapa

Like

Reply


GGG

February 16, 2019 at 8:37 am

Jamani Fanyen Huruwa Mi Bonanza La Mchina Linaniumiza

Like

Reply

MANDELA MLAKI

February 18, 2019 at 11:40 am

Ww kwa uelewa wako unaweza tengeneza correct score

Like

Reply


DAVID

March 21, 2019 at 9:25 am

Nimejiunga na premium member lakin bado sijaunganishwa naomba msaada wenu nimejiunga kwenye app yenu
Nimelipia kupitia tigo pesa namba yangu ni 0674261127

Like

Reply


JAPHET SAMSON

April 14, 2019 at 6:32 pm

ngoj nijarb

Like

Reply


TARABTY

May 7, 2019 at 1:49 pm

sawa sawa tuna fanya ili tukuze kipato maana maisha magumu sana sana

Like

Reply


LEAVE A REPLY

Your email address will not be published.Required fields are marked *

Comment 

Name * 

Email * 

Website 

 Notify me of new comments via email.

HABARI YA MOTO SANA

Habari Mpya Za IT/WanaIT


Kuactivate Windows


Antivirus Nzuri


MASOMO YA AWALI NA KINA

Masomo 10 Ya Awali Yapo Hapa


Masomo 13 Ya Kina Yapo Hapa


ZILIZOSOMWA NA WALIO WENGI

Njia nyepesi za kubeti na kushinda Mahela Mengi


Kuangalia Chaneli Za Televisheni Za Tanzania Kwa Kutumia Simu Au Computer


Kutest Power Supply Ya Desktop Computer Kama Nzima au Mbovu


Mbinu za ushindi kwenye Kubeti


Masomo 10 Ya Awali Yapo Hapa


Yaliyojiri Leo


Unajua Namna Ya Kutafuta Simu Iliyopotea?


Fahamu MB unazotumia Na Spidi Ya Internet Ya Simu Yako Kwa Urahisi


Faida za kufanya usafi na Hasara za kutokufanya usafi ktk Computer Yako


MAWASILIANO

Dar Es Salaam, Tanzania

0767251022 au 0656251022

Siku Za Kazi = JumaTatu hadi Jumamosi 

Masaa Ya Kazi 
Kuanzia = Saa Mbili (2) Asubuhi 
Hadi = Saa Kumi na Mbili (12) Jioni

Advertisements


REPORT THIS AD

Search for:

UTUNDU BY MAX IT CLUB

Mbinu za ushindi kwenye Kubeti


Faida za kufanya usafi na Hasara za kutokufanya usafi ktk Computer Yako


Fahamu MB unazotumia Na Spidi Ya Internet Ya Simu Yako Kwa Urahisi


Njia nyepesi za kubeti na kushinda Mahela Mengi


Zuia Kuibiwa Vifaa Vya Ndani Vya Computer Yako


Kuangalia Chaneli Za Televisheni Za Nje Ya Tanzania Kwa Kutumia Simu Au Computer


Kuangalia Chaneli Za Televisheni Za Tanzania Kwa Kutumia Simu Au Computer


IDADI YA WAGENI WALIOTUTEMBELEA

84,414


MAY 2019MTWTFSS    12345678910111213141516171819202122232425262728293031 

Powered by WordPress.com.

Ijumaa, 26 Aprili 2019

Jinsi ya kutengeneza App ya Android kwa kutumia Smartphone

Jinsi ya Kutengeneza App ya Android kwa Kutumia Smartphone

Kwa kutumia njia hii utaweza kutengeneza app ya Android yenye kufanya kazi

by Amani Joseph
about a year ago
5.2k Views 30 Comments

Katika ulimwengu huu ambao simu za mkononi zinatumika kwenye kila kitu ni wazi kuwa, baadhi ya vitu sasa vinawezekana kufanyika bila kutumia kompyuta. Kwa siku ya leo tutaenda kujifunza jinsi ya kutengeneza programu za Android kwa kutumia simu yako ya mkononi.

Kwa kuanza basi ili kuweza kufanikisha hili unaitaji simu yoyote ya Android pamoja na bando angalau MB 500 au zaidi, hii ni muhimu sababu ni lazima ujaribu kila sehemu ili uweze kupata kile unacho hitaji kwenye app yako hivyo ni muhimu kuwa na bando ya kutosha.

Kama tayari una bando la kutoka basi twende tukaanze somo letu la leo, lakini awali ya hapo labda nikuonyeshe picha za programu ambayo nimetengeneza kwa kutumia simu yangu ya mkononi, unaweza kudownload app hii HAPA ili kujionea mwenyewe.


Kwa kuanza basi ingia kwenye kisakuzi cha Google chrome kisha ingia kwenye tovuti ya www.andromo.com kishanga utapelekwa kwenye ukurasa maalum, bofya kitufe chenye mistari mitatu kilichoko juu upande wa kulia kisha bofya sehemu iliyo andikwa Sign Up, baada ya hapo utaletewa fomu yenye sehemu ya kujaza, jaza fomu hiyo ili kujiunga na tovuti ya Andromo na hakikisha unatumia barua pepe (email) sahihi.

Baada ya kuhakiki barua pepe yako na kuruhusiwa kuingia kwenye tovuti hiyo, sogea chini kidogo kisha utaona sehemu imeandikwa Create New App, bofya hapo kisha chini ya Project name andika jina la App unayotaka kutengeneza kisha bofya Create.

Baada ya hatua hiyo utaletwa kwenye ukurasa unao anza na Settings kutoka upande wa kushoto, bofya hapo kisha shuka chini kidogo mpaka mahali palipo andikwa Target Market, hapa ni vyema kuwa makini sababu app hii unayo tengeneza sasa utaweza kutuma Play Store sababu mpaka sasa hii ni akaunti ya bure unayo tumia, hivyo kwenye sehemu ya Target Market ni vyema kuchagua Samsung Apps au  Amazon Appstore kwani huko ndipo utaweza kutuma app yako.

Baada ya kuchagua Target Market shuka chini kidogo kwenye Category kisha chagua aina ya App ambayo unataka kutengeneza, chini yake kwenye sehemu ya Description hapa utajaza maelezo yoyote kuhusu App yako na kama huna malezo yoyote basi unaweza kuacha wazi. Baada ya kumaliza kuweka maelezo ya App yako shuka chini kidogo hadi sehemu iliyoandikwa App Icon.

Sehemu hii ni muhimu kwani hii ndio picha ya App yako hivyo kama tayari unayo picha ya App yako sasa ndio wakati wa kuiweka na uta bofya sehemu iliyo andikwa Choose File kisha chagua picha unayotaka ndani ya simu yako, hakikisha picha yako ina ukubwa wa 512×512 na iwe na format ya png. Baada ya kumaliza hatua hiyo shuka mpaka mwisho kabisa wa ukurasa huo kisha bofya kitufe cha Save Changes.

Kisha rudi juu kabisa mwa ukurasa kisha bofya Theme, hapo utaweza kuchangua rangi ya App yako, changua rangi zote mbili zifanane kati ya Primary Color na Accent Color, baada ya hapo shuka chini kidogo hadi sehemu iliyo andikwa  Body Style chagua kati ya Material Light kupata rangi nyeupe kwenye App yako na Material Dark kupata rangi nyeusi kwenye App yako. ukisha maliza shuka mpaka mwisho wa ukurasa huo na bofya Save Changes.

Baada ya hapo rudi tena juu kabisa kisha bofya sehemu iliyo andikwa Navigation, Shuka chini kidogo hadi sehemu iliyoandikwa Title kisha andika jina la App yako kisha sehemu ya Subtitle andika msemo wa App yako kwa ufupi kwa mfano “pepsi dare for more”, baada ya hapo chini ya Upload a Header Image bofya Choose File na weka picha unayotaka ionekana juu kabisa kwenye app yako, ukimaliza shuka mpaka mwisho wa kurasa hiyo alafu bofya Save Changes.

Baada ya hapo rudi juu kabisa ya ukrasa kisha bofya Dashboard, hapa ni vizuri kuwa makini shuka mpaka sehemu iliyoandikwa Startup Mode kisha chagua Show first activity(no dashboard) kisha bofya Save Changes. Kisha kama kawaida rudi juu kisha chagua sehemu ya Activities kisha bofya sehemu ya Add an Activity kisha fuat

Jumamosi, 13 Aprili 2019

Nukuu (Quotes) 50 Zitakazokuhamasisha Maishani Mwako

Nukuu (Quotes) 50 Zitakazokuhamasisha Maishani Mwako


B


Bujibuji

Oct 2, 2018

#1

 

 


Yale tunayoyawaza na kuyatafakari kwenye fikra zetu yana nafasi kubwa sana kwenye maisha yetu. Ikiwa tunataka kufanikiwa basi ni lazima tufikiri na kutafakari juu ya kufanikiwa.

“Tunakuwa kile tunachofikiri”
Earl Nightingale​

Vivyo hivyo ikiwa tunahitaji kuhamasika kufanya mambo mbalimbali maishani, ni lazima tusome, tusikilize, tutazame na hata tutafakari vitu vitakavyotuhamasisha.
Karibu nikufahamishe nukuu 50 (quotes) ambazo zitakuhamasisha katika maswala mbalimbali unayoyafanya maishani mwako.

“Chochote ambacho akili ya binadamu inaweza kuumba na kufikiri, inaweza kukikamilisha pia.”
Napoleon Hill​


“Njia ya kuanza ni kuacha kuzungumza na kuanza kutenda.”
Walt Disney​


“Usiruhusu jana itawale sana leo.”
Will Rogers​


“Kama unafanyia kazi kitu kinachokusisimua na unachokijali kweli, hauhitaji kusukumwa. Maono yako yatakusukuma.”
Steve Jobs​


“Kufahamu haitoshi, ni lazima tuweke kwenye matendo, Kutamani haitoshi, ni lazima tufanye.”
Johann Wolfgang​


“Tunatengeneza hofu tunapokaa bila kufanya kitu. Tunaishinda hofu kwa matendo.”
Dr. Henry Link​


“Ikiwa unafikiri unaweza au huwezi, uko sahihi.”
Henry Ford​


“Mtu mwenye kujiamini ndani yake, anapata kujiamini kwa wengine.”
Hasidic Proverb​


“Fanya kile unachoweza kwa vyote ulivyonavyo, popote ulipo.”
Theodore Roosevelt​


“Akili ni kila kitu. Unavyofikiri ndivyo unavyokuwa.”
Buddha​


“Muda mzuri wa kupanda mti ni miaka 20 iliyopita. Lakini muda mwingine mzuri wa pili ni sasa.”
Chinese Proverb​


“Muda wako ni mdogo, usiupoteze kuishi maisha ya mtu mwingine.”
Steven Jobs​


“Kushinda siyo kila kitu, lakini kutaka kushinda ni kila kitu.”
Vince Lombardi​


“Huwezi kuvuka bahari kama huna ujasiri wa kuacha kuona ufukwe.”
Christopher Columbus​


“Kisasi kizuri ni mafanikio makubwa.”
Frank Sinatra​


“Kuna njia moja tu ya kuepuka kukosolewa: usifanye kitu, usiseme kitu na usiwe chochote.”
Aristotle​


“Anzia ulipo. Tumia kile ulichonacho. Fanya kile unachokiweza.”
Arthur Ashe​


“Anguka mara saba simama mara ya nane.”
Japanese Proverb​


“Mlango mmoja wa furaha ukifungwa, mwingine unafunguliwa, lakini mara nyingi tunautazama sana ule uliofungwa na kushindwa kuona ule uliofunguliwa kwa ajili yetu.”
Helen Keller​


“Kila kitu kina uzuri wake, lakini siyo kila mtu anaweza kuuona.”
Confucius​


“Changamoto zinafanya maisha yavutie na kuzishinda ni kufanya maisha kuwa na maana.”
Joshua J. Marine​


“Kama unataka kujiinua mwenyewe juu, mwinue mwingine juu kwanza.”
Booker T. Washington​


“Ili kufanikiwa, shauku yako ya mafanikio ni lazima iwe kubwa kuliko hofu yako ya kushindwa.”
Bill Cosby​


“Kila siku ninajitahidi kufanya vizuri zaidi kuliko nilivyo fanya jana.”
Reginald Mengi​


“Mtu ambaye hajawahi kufanya kosa hajawahi kujaribu kitu chochote.”
Albert Einstein​


“Mtu anayesema hawezi kufanya hatakiwi kumwingilia mtu anayesema ninaweza kufanya.”
Chinese Proverb​


“Haujachelewa kuwa ambaye ungeweza kuwa.”
George Eliot​


“Unakuwa kile unachoamini.”
Oprah Winfrey​


“Jenga ndoto zako wewe mwenyewe, la sivyo mtu mwingine atakuajiri kujenga zake.”
Farrah Gray​


“Ota ndoto kubwa na dhubutu kushindwa”
Norman Vaughan​


“Badili kufikiri kwako na utakuwa umebadili ulimwengu.”
Norman Vincent Peale​


“Andika kitu chenye manufaa kusomwa au fanya kitu chenye manufaa kuandikwa.”
Benjamin Franklin​


“Njia pekee ya kufanya kazi nzuri ni kupenda kile unachokifanya.”
Steve Jobs​


“Ikiwa unaweza kuliota, unaweza kulifanikisha.”
Zig Ziglar​


“Ndoto zetu zote zinaweza kutokea ikiwa tuna ujasiri wa kuzifuata.”
Wale Disney​


“Usilie juu ya kile ambacho huna; tumia vizuri kile ulichonacho.”
Reginald Mengi​


“Mambo mazuri huja kwa watu wanaosubiri, lakini mambo bora huja kwa wale wanaoondoka na kwenda kuayachukua.”
Hajulikani​


“Fursa hazitatokea, unatakiwa kuziunda.”
Chris Grosser​


“Usijaribu kuwa mtu wa mafanikio, bali jaribu kuwa mtu wa thamani.”
Albert Einstein​


“Akili kubwa hujadili mawazo, akili ya wastani hujadili matukio, akili ndogo huzungumzia watu.”
Eleanor Roosevelt​


“Ikiwa hauthamini muda wako, hata wengine hawatauthamini. Acha kupoteza muda na vipaji vyako sasa – anza kuvifanyia kazi”
Kim Garst​


“Mtu mwenye mafanikio ni yule anayeweza kujenga msingi imara kwa kutumia matofali yaliyotupwa na wengine.”
David Brinkley​


“Usiinue sauti yako, boresha hoja yako.”
Hajulikani​


“Ninaamini kwamba ujasiri pekee mtu yeyote anaouhitaji ni ujasiri wa kufuata ndoto zako mwenyewe.”
Orarah Winfrey​


“Fursa zina aibu, zinakusubiri uzikimbilie.”
Reginald Mengi​


“Ubunifu unatofautisha kati ya kiongozi na mfuasi.”
Steve Jobs​


“Hofu ni mojawapo ya adui mkubwa kwa mafanikio.”
Reginald Mengi​


“Wengi wetu hatuishi ndoto zetu kwa sababu tunaishi hofu zetu.”
Less Brown​


“Hatua ya mwanzo ya mafanikio yoyote ni matamanio.”
Napoleon Hill​


“Baadaye inamilikiwa na wale wote wanaoamini kwenye uzuri wa ndoto zao.”
Eleanor Roosevelt​


Naamini umehamasika na kufurahia nukuu hizi za hamasa. Ni wazi kuwa kila kitu kinaanza kwenye fikra zetu – tunavyowaza ndivyo tunavyokuwa.

L


lucas mobutu

Oct 2, 2018

#2

Uzi mzuri. Angalau tusahau nyuzi za mapenzi na za kuwalalamikia wadada wa JF

M


Madame B

Oct 2, 2018

#3

Wazungu waongo tu

L


lucas mobutu

Oct 2, 2018

#4

Naona namba 15 jamaa aliongea kitu kizuri

M


m.k

Oct 2, 2018

#5

nimeipenda hii

S


Sokoro waito

Oct 2, 2018

#6

Madame B said:

Wazungu waongo tu


kwani hizo nukuu zote ni za wazungu mkuu? mbona zimo za waafrika kama Mengi, zimo za wajapani, zimo za wachina n.k

Nimezipenda maana zina ukweli unaofuatwa na wachache.

M


Madame B

Oct 2, 2018

#7

Sokoro waito said:

kwani hizo nukuu zote ni za wazungu mkuu? mbona zimo za waafrika kama Mengi, zimo za wajapani, zimo za wachina n.k

Nimezipenda maana zina ukweli unaofuatwa na wachache.


Ohhhhh
Basi mie nimeangalia mwanzo kati na mwisho nikanua hawa wazungu tu

S


Sokoro waito

Oct 2, 2018

#8

Madame B said:

Ohhhhh
Basi mie nimeangalia mwanzo kati na mwisho nikanua hawa wazungu tu


okay pole kwa hilo Madame B, hujambo lakini?

D


dagii

Oct 2, 2018

#9

Ndefu sana soma mwenyewe

S


shushushu VIP

Oct 2, 2018

#10

Nukuu nzur hizo

M


Mother Confessor

Oct 2, 2018

#11

"Maarifa ni bora kuliko Hazina"

~Mother Confessor ~

K


Khaligraph Jordan

Oct 2, 2018

#12

Ahsante kwa kunipunguzia machungu

M


Madame B

Oct 2, 2018

#13

Sokoro waito said:

okay pole kwa hilo Madame B, hujambo lakini?


Asante mpendwa.
Mimi sijambo Sokoro, za kwako

S


Sokoro waito

Oct 2, 2018

#14

Madame B said:

Asante mpendwa.
Mimi sijambo Sokoro, za kwako


nzuri tu mkuu, amani kwako.

M


Madame B

Oct 2, 2018

#15

Sokoro waito said:

nzuri tu mkuu, amani kwako.


Mia mia....mie niko kamshange, full kundonda.
Hainaga mbaya mkuu

T


The Icebreaker

Oct 2, 2018

#16

Madame B said:

Wazungu waongo tu


Ukweli ni upi?

S


Sokoro waito

Oct 2, 2018

#17

Madame B said:

Mia mia....mie niko kamshange, full kundonda.
Hainaga mbaya mkuu


sijakuelewa hapo kwenye bold mkuu

M


MIXOLOGIST

Oct 2, 2018

#18

Mkuu, wapi wahenga wa zamani? mambo ya:

ndondondo si chururu

ngaagaa na upwa ali wali mkavu

kila mtoto ana riziki yake

Hawa wahenga wetu wahawakuwa wamejipanga?

M


Madame B

Oct 2, 2018

#19

Sokoro waito said:

sijakuelewa hapo kwenye bold mkuu


Hapo ni kwamba niko mzima, sina wasi, niko poa tu.
Salamu za vijana wa Dar hizi

S


Sokoro waito

Oct 2, 2018

#20

Madame B said:

Hapo ni kwamba niko mzima, sina wasi, niko poa tu.
Salamu za vijana wa Dar hizi


teh teh nimekupata mkuu

Get involved!

Here you can only see a limited number of comments. On JamiiForums you see all comments and all functions are available to you.TO THE THREAD

Contact us


Terms and rules


JamiiForums' Privacy Policy


Help


Jumatano, 27 Machi 2019

WAJUE WANAWAKE MATAIRA

WAJUE WANAWAKE MATAIRA
1. Anaevaa mini-skirt halafu akikaa mahali anahangaika kujiziba magoti huyo nae ni.....Taahira!
2. Anaetoa mimba kisha analala na midoli huyo nae ni....Taahira!
3. Anaedate na mume wa m2 miaka nenda rudi, na kuwakataa wanaotaka kumuoa huyo nae ni..........Taahira!
4. Anaeweka nywele bandia, kucha bandia,kope bandia akiambiwa amependeza anasema Ahsante, huyo nae ni......Taahira!
5. Mwanamke ambae hamilik hata kitanda lakin anataka mwanaume mwenye gari huyo nae ni....Taahira!
6. Anaesoma post hii kisha anatukana badala ya kubadilika wakati nimemuelimisha huyo nae ni......Taahira.

😂😂😂😂😂😂😂😂

Jumapili, 10 Machi 2019

Jifunze Biblia hapa

makala za mafundisho, watakatifu, miujiza, tafakari, sala, nyimbo, picha, majarida, n.k
Toggle navigation  Home
Makala
Makala Mchanganyiko
Miujiza
Watakatifu
Tafakari
Mafundisho
Bikira Maria
Kuhusu Sanamu
Kuhusu Kanisa
Madhehebu Mengine
Sala
Nyimbo
Picha
Maktaba
Mawasiliano

Menu

Yesu Ninakutumainia

Ifahamu Huruma ya Mungu hapa>>

--

HOME

MAKALA

TAFAKARI

SALA

MAFUNDISHO

MIUJIZA

WATAKATIFU

NYIMBO

PICHA

MAKTABA/LIBRARY

BIKIRA MARIA

KUHUSU SANAMU

KUHUSU KANISA

Kama Una mashaka na Imani na mafundisho ya Kanisa Katoliki soma hapa>>

Mchanganyiko

Mungu alisema nini alipotaka kumuumba mtu?✔

Mungu aliumbaje ulimwengu?✔

Kwa nini Mungu aliumba ulimwengu?✔

Mpya

Mambo ya kufahamu katika kipindi cha kwaresima✔

Maana kamili ya Kwaresma✔

Nifunge nini Kwaresma? Mambo ya kufunga kipindi cha Kwaresima✔

e

Mtu ni nani?
Makala mpya kwa sasa » Mtu ni nani?
Mtu ni kiumbe chenye mwili na roho kilichoumbwa kwa sura na mfano wa Mungu. (Mwa 1:26)





⏪Swali lililopita: Mungu alisema nini alipotaka kumuumba mtu?

⏩Swali linalofuata: Tumeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu maana yake ni nini?

⏬⏬ Endelea kusoma maswali haya yafuatayo ili kuelewa zaidi swali hili kuhusu 👉Mtu ni nani?👇

📌 Mungu alisema nini alipotaka kumuumba mtu?✅

📌 Tumeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu maana yake ni nini?✅

📌 Watu wa kwanza kuumbwa na Mungu ni akina nani?✅

📌 Mungu alimwumbaje Adamu?✅

📌 Mungu alimwumbaje Eva (Hawa)?✅

📌 Kwa nini Mungu alituumba? Kwa nini Mungu aliumba mtu?✅

📌 Ni kipi cha kutunza kwa makini zaidi kati ya mwili na roho yako?✅

📌 Mungu aliwapa watu wa kwanza mapaji gani?✅

📌 Mungu aliwaamuru nini watu wa kwanza?✅

📌 Je, Adamu na Eva walimtii Mungu?✅

📌 Dhambi ya asili ndio nini?✅

📌 Adhabu gani walipewa Adamu na Eva?✅

📌 Kisha kosa la Adamu na Eva Mungu aliahidi nini?✅

📌 Alipokwisha umba watu Mungu aliwafundisha nini?✅

📌 Dini ni nini?✅

📌 Mungu alinena na nani?✅

📌 Baada ya kifo cha mtu nini hutokea?✅

📌 Matokeo ya hukumu hiyo ni nini?✅

📌 Ikiwa Mungu anatushughulikia, tunapaswa kufanya nini?✅

📌 Kwa kuwa tumetoka kwa Mungu na tutarudi kwake, tunapaswa kuishi vipi?✅

📌 Tunaanzaje kumjua Mungu?✅

📌 Je, Mungu amewasiliana nasi?✅

📌 Mungu ametufunulia nini?✅

📌 Mungu akiwa wema mkuu na mwenye uwezo wote, mbona katika viumbe vyake kuna ubaya? Kwa nini Mungu anaruhusu mabaya na maovu?✅

📌 Viumbe vyenye hiari ni vipi?✅

📌 Malaika na watu wanaweza kuchagua hata nini?✅

📌 Sisi binadamu tukoje?✅

📌 Je, mwili wetu ni muhimu?✅

📌 Mungu aliwahi kujifunua kwa watu gani?✅

📌 Je, Mungu aliumba watu wa kwanza katika hali ya mateso na mauti tuliyonayo sasa?✅

📌 Mungu angeweza kuzuia watu wasitende dhambi?✅

📌 Je, toka mwanzo sisi watu tunaasi mpango wa Mungu peke yetu?✅

📌 Dhambi zimetuathiri vipi tena?✅

📌 Katika unyonge wetu tutumainie nini?✅

📌 Yesu ni Mungu au mtu?✅

📌 Je, Umungu na utu wa Yesu vinachanganyikana?✅

📌 Je, Mwana wa Mungu tangu atwae mwili ni mtu kamili mwenye akili na utashi wa kibinadamu?✅

📌 Kwa nini Yesu alishawishiwa/alijaribiwa na Shetani?✅

📌 Tutakapofariki dunia itatutokea nini?✅

📌 Je, mwili utakaofufuliwa ni huuhuu tulionao sasa?✅

📌 Haki gani ya Binadamu ni ya msingi kupita zote?✅

📌 Hamu kuu ya binadamu ni ipi?✅

📚 Endelea kusoma kuhusu;-👇

Mungu alisema nini alipotaka kumuumba mtu?
Mungu aliumbaje ulimwengu?
Kwa nini Mungu aliumba ulimwengu?
Kisha kuumba Malaika Mungu aliumba nini?
Makao ya shetani ni wapi na anatamani nini?
HOME | MAKALA | TAFAKARI | SALA | MAFUNDISHO | MIUJIZA | WATAKATIFU | NYIMBO | PICHA | MAKTABA/LIBRARY | BIKIRA MARIA

👉Soma Mafundisho Muhimu ya Imani Katoliki hapa>>>
Kama Una mashaka na Imani na mafundisho ya Kanisa Katoliki soma hapa>>

Website hii inaletwa kwako na Melkisedeck Leon Shine.

Wasiliana nami Hapa
Naomba utafakari kuhusu; Mungu anasubiri sala zako. Mungu akubariki sana. Tuombeane..

Help  | Terms of Service  | Privacy  | Report a bug  | Flag as objectionable
Powered by Wikidot.com
Copyright © Ack

Jumatano, 13 Februari 2019

Uislamu chanzo chake

Ili kuweza kufahamu chimbuko halisi la Uislam inafaa kuyafahamu mazingira ya Uarabuni kabla ya Uislam, mtu aliyeitwa Muhammad na historia ya mwanzo ya Uislam. Elimu kale (akiolojia), Kurani na Hadithi vina mengi ya kusimlia ambayo watu wengi wanaweza kuwa hawajui.

Maka kabla ya Muhammad

Umeishawahi kujiuliza Maka ilikuwaje kabla Muhammad hajazaliwa? Yaelekea ilikuwa sehemu ya kuvutia, kwani ilikuwa ni kituo cha biashara, mahali penye kusanyiko la tamaduni mbalimbali. Palikuwa na wafanya biashara wenye dini mbalimbali. Watu wa kabila la Kureshi wa Maka walimwabudu Hubal, Al-ilah na mabinti watatu wa Al- ilah. Mwamba mweusi kutoka mbinguni uliheshimiwa sana uliwekwa kwenye kona ya kaaba. Kaaba ilikuwa ni kitovu cha kuabudia miungu/sanamu 360 kwa mujibu wa Bukhari juzuu ya 3 kitabu cha 43 sura ya 33 na.658 uk. 396 na juzuu ya 5 kitabu cha 59 sura ya 47 na.583 uk. 406.

Ensaiklopidia ya Uislam (iliyohaririwa na Eliade) uk.303 na kuendelea inasema, watu, kabla ya Uislam, waliomba mara 5 wakielekeza nyuso zao Maka na kufunga nusu siku kwa muda wa mwezi mzima. Wakureshi walifunga siku ya 10 ya Myharram/Muharam. Hii nayo Muhammad aliagiza ifanyike, lakini baadaye ikawa hiari. (Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 58 sura ya 25 na.172 uk.109), pia Bukhari juzuu ya 6 kitabu cha 60 sura ya 24 na.31 uk. 25.

Waarabu kabla ya Uislam walifanya hija (Umrah) Maka. Fiqh us-Sunnah juzuu ya 5 uk.122, na Bukhari juzuu ya 2 kitabu 26 sura ya 33 na.635 uk.371-372 zinasema walidhani kutokufanya 'Umrah ikijuwa ni moja ya dhambi kubwa sana duniani. Walipofika Maka waliifunika kaaba kwa nguo ya Fiqh juzuu ya 5 uk.131, na walikuwa na mwezi mtakatifu uliohitaji kujitenga na vita kabla ya kuja kwa Uislam (Bukhari juzuu ya 2 kitabu cha 23 sura ya 96 na.482 uk.273.

Chimbuko la Neno "Allah"

Kwa ujumla: Neno "Allah" ni kifupi cha neno la kiarabu La-ilah, ambalo maana yake ni "mungu". Wakristo wa kiarabu na wapagani walitumia neno Ilah kwa maana ya Mungu. Hata Biblia za kiarabu na kiindonesia leo hii hutumia neno "Allah" kwa maaana ya Mungu. Wakati wa nyuma neno linalofanana na hilo el lilimaanisha "mungu" wa kweli au uongo katika lugha za mashariki ya kati kama kiugariki, kikaanani na kiebrania. Kabla ya Muhammad, kaaba jengo lililotunza sanamu 360 liliitwa Beit-Allah, au "Nyumba ya Allah". Baba yake Muhammad ambaye alifariki kabla ya Muhammad kuzaliwa, aliitwa Abdullah maana yake, mtumwa wa Mungu. Pia kabila la Wayahudi liliitwa 'Abdullah bin Salam kwenye Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 59 sura ya 13 na. 362 uk.241.

Kwa udhahiri: miongoni mwa sanamu/miungu iliyoabudiwa Maka uliitwa "Allah." Huyu alikuwa mungu maalum wa kabila la Wakureshi naye alikuwa na mabinti watatu maalum. Ukilinganisha na nguzo 4 kati ya 5 za Uislam, watu wa Maka kabla ya Muhammad walifunga kwa pamoja siku moja, walitoa sadaka kwa maskini wao, walisali wakielekeza nyuso zao Maka, na walifanya hija ('Umrah) Maka. Kulikuwa na tofauti nyingi pia, lakini inashangaza kuona muendelezo wa matendo yasiyobadilika yaliyokuwa yakifanyika kwenye ibada za kipagani za kikureshi.

Kama ambavyo kifungu hiki kitaonesha, kama ambavyo mungu maalumu wa kiyunani Zeus  alivyotoakana na neno Mungu (theos), jambo kama hilo limetokea miongoni mwa Waarabu kabla ya Uislam.

Wanaomcha Allah

Watu wengi wa kale walimwabudu mungu jua na mungu mke mwezi. Waarabu wa magharibi walikuwa tofauti kwa kumwabudu mungu mwezi na mkewe, mungu mke jua. Kuna sanamu za kabla ya Uislam za alama yake: mwezi mwandamo. Sanamu hii inafanana sana na mwezi mwandamo wa wa Waislam wa Shia, isipokuwa Washia wameongeza nyota ndogo. Wayemen/Sabaeans walikuwa na mungu mwezi kwa mujibu wa Ensaiklopidia ya Uislamu uk.303. Wakureshi wanawezakuwa walimpata mungu huyu kutoka kwao.

Allah alikuwa na mabinti watatu walioitwa Lat, 'Uzza na Manat. Siku moja "Nabii wa Allah" aliafiki na kusema katika Quran (Sura 53:19) kuwa maombezi yao yanapaswa kutumainiwa. Kwa maneno mengine alisema tunapaswa kutumaini msaada wa miungu hawa watatu.

Wafuasi wa Muhammad