Tafuta katika Blogu Hii

Jumatano, 13 Februari 2019

Uislamu chanzo chake

Ili kuweza kufahamu chimbuko halisi la Uislam inafaa kuyafahamu mazingira ya Uarabuni kabla ya Uislam, mtu aliyeitwa Muhammad na historia ya mwanzo ya Uislam. Elimu kale (akiolojia), Kurani na Hadithi vina mengi ya kusimlia ambayo watu wengi wanaweza kuwa hawajui.

Maka kabla ya Muhammad

Umeishawahi kujiuliza Maka ilikuwaje kabla Muhammad hajazaliwa? Yaelekea ilikuwa sehemu ya kuvutia, kwani ilikuwa ni kituo cha biashara, mahali penye kusanyiko la tamaduni mbalimbali. Palikuwa na wafanya biashara wenye dini mbalimbali. Watu wa kabila la Kureshi wa Maka walimwabudu Hubal, Al-ilah na mabinti watatu wa Al- ilah. Mwamba mweusi kutoka mbinguni uliheshimiwa sana uliwekwa kwenye kona ya kaaba. Kaaba ilikuwa ni kitovu cha kuabudia miungu/sanamu 360 kwa mujibu wa Bukhari juzuu ya 3 kitabu cha 43 sura ya 33 na.658 uk. 396 na juzuu ya 5 kitabu cha 59 sura ya 47 na.583 uk. 406.

Ensaiklopidia ya Uislam (iliyohaririwa na Eliade) uk.303 na kuendelea inasema, watu, kabla ya Uislam, waliomba mara 5 wakielekeza nyuso zao Maka na kufunga nusu siku kwa muda wa mwezi mzima. Wakureshi walifunga siku ya 10 ya Myharram/Muharam. Hii nayo Muhammad aliagiza ifanyike, lakini baadaye ikawa hiari. (Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 58 sura ya 25 na.172 uk.109), pia Bukhari juzuu ya 6 kitabu cha 60 sura ya 24 na.31 uk. 25.

Waarabu kabla ya Uislam walifanya hija (Umrah) Maka. Fiqh us-Sunnah juzuu ya 5 uk.122, na Bukhari juzuu ya 2 kitabu 26 sura ya 33 na.635 uk.371-372 zinasema walidhani kutokufanya 'Umrah ikijuwa ni moja ya dhambi kubwa sana duniani. Walipofika Maka waliifunika kaaba kwa nguo ya Fiqh juzuu ya 5 uk.131, na walikuwa na mwezi mtakatifu uliohitaji kujitenga na vita kabla ya kuja kwa Uislam (Bukhari juzuu ya 2 kitabu cha 23 sura ya 96 na.482 uk.273.

Chimbuko la Neno "Allah"

Kwa ujumla: Neno "Allah" ni kifupi cha neno la kiarabu La-ilah, ambalo maana yake ni "mungu". Wakristo wa kiarabu na wapagani walitumia neno Ilah kwa maana ya Mungu. Hata Biblia za kiarabu na kiindonesia leo hii hutumia neno "Allah" kwa maaana ya Mungu. Wakati wa nyuma neno linalofanana na hilo el lilimaanisha "mungu" wa kweli au uongo katika lugha za mashariki ya kati kama kiugariki, kikaanani na kiebrania. Kabla ya Muhammad, kaaba jengo lililotunza sanamu 360 liliitwa Beit-Allah, au "Nyumba ya Allah". Baba yake Muhammad ambaye alifariki kabla ya Muhammad kuzaliwa, aliitwa Abdullah maana yake, mtumwa wa Mungu. Pia kabila la Wayahudi liliitwa 'Abdullah bin Salam kwenye Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 59 sura ya 13 na. 362 uk.241.

Kwa udhahiri: miongoni mwa sanamu/miungu iliyoabudiwa Maka uliitwa "Allah." Huyu alikuwa mungu maalum wa kabila la Wakureshi naye alikuwa na mabinti watatu maalum. Ukilinganisha na nguzo 4 kati ya 5 za Uislam, watu wa Maka kabla ya Muhammad walifunga kwa pamoja siku moja, walitoa sadaka kwa maskini wao, walisali wakielekeza nyuso zao Maka, na walifanya hija ('Umrah) Maka. Kulikuwa na tofauti nyingi pia, lakini inashangaza kuona muendelezo wa matendo yasiyobadilika yaliyokuwa yakifanyika kwenye ibada za kipagani za kikureshi.

Kama ambavyo kifungu hiki kitaonesha, kama ambavyo mungu maalumu wa kiyunani Zeus  alivyotoakana na neno Mungu (theos), jambo kama hilo limetokea miongoni mwa Waarabu kabla ya Uislam.

Wanaomcha Allah

Watu wengi wa kale walimwabudu mungu jua na mungu mke mwezi. Waarabu wa magharibi walikuwa tofauti kwa kumwabudu mungu mwezi na mkewe, mungu mke jua. Kuna sanamu za kabla ya Uislam za alama yake: mwezi mwandamo. Sanamu hii inafanana sana na mwezi mwandamo wa wa Waislam wa Shia, isipokuwa Washia wameongeza nyota ndogo. Wayemen/Sabaeans walikuwa na mungu mwezi kwa mujibu wa Ensaiklopidia ya Uislamu uk.303. Wakureshi wanawezakuwa walimpata mungu huyu kutoka kwao.

Allah alikuwa na mabinti watatu walioitwa Lat, 'Uzza na Manat. Siku moja "Nabii wa Allah" aliafiki na kusema katika Quran (Sura 53:19) kuwa maombezi yao yanapaswa kutumainiwa. Kwa maneno mengine alisema tunapaswa kutumaini msaada wa miungu hawa watatu.

Wafuasi wa Muhammad

Jumamosi, 19 Januari 2019

Misemo

http://tangamkoa.blogspot.com/2012/01/misemomethalisayingsproverbs-in-english.html?m=1

Alhamisi, 22 Novemba 2018

HUYU NDIO MWANAMKE WA KUOA ILA SIJUI KAMA TANZANIA YUPO

HUYU NDIO MWANAMKE WA KUOA ILA SIJUI KAMA TANZANIA YUPO😂😂😂😂😂😂🏃🏃🏃🏃

1-Mwanamke ambaye anakuja kwako na akakukuta unakula ugali na kachumbari kisha akaamua kula nawe,
huyo mwanamke oa.

2-Unakwenda naye hotelini na anaagiza ugali dagaa na maji tu, huyo oa kwani
anajua uchumi.

3-Mdada aliye amua kumuacha bwana anae miliki 🚘 gari na kukufata wewe wa 🚶🏽miguu mitupu, usimuache huyo.❤❤❤❤

4-Mwanamke anaekuja kwako akakuta 👕👖 nguo zako chafu akaamua kufua zote mpaka za wadogo zako, huyo mke usimuache.

5-Mwanamke unampa 💸 Tsh 5,000 akafanye shopping sokoni kisha akarudisha chenji, huyo usimuache kwan anajua kuban matumizi na muaminifu.

6-Ukimpat mwanamke ambaye anakupigia cm na kukuuliza je anaweza kukutumia credit au hela ya lunch au anakupa pocket money saa nyingine, huyo mwanamke mtangazie ndoa fasta.

7-Mwanamke ambaye anakupa password ya bank laptop cm na emails zake, oa haraka sana watamfukuzuia wenzako.

8-Mwanamke ukipanda nae daladala anakulipia nauli au mkitoka aut analipia bili ya vyakula na vinywaji, huyo usimuache anajua wajibu wa wanandoa.

9-ukimpat ambaye mnapokula yeye anachagua mifupa na kukuachia minofu, huyo oa fasta kwani anajali afya yako.

10-ukipat mwanamke ambaye kila ukimuuliza umletee nini unapotok kazin lakini yeye anakwambia kuwa hahitaji chochot bali anataka tu urudi salam, huyo ndie mke sio kila siku unatumwa chipsi

SHARE

Jumamosi, 13 Oktoba 2018

JIFUNZE BIBLE TAKATIFU

Wakatoliki

Toggle navigation  Home
Makala
Tafakari
Mfundisho
Miujiza
Watakatifu
Bikira Maria
Kuhusu Sanamu
Kuhusu Kanisa
Madhehebu Mengine
Sala
Nyimbo
Picha
Maktaba ya PDF
Mawasiliano

Menu

Yesu Ninakutumainia

Ifahamu Huruma ya Mungu hapa>>

--

HOME

MAKALA

TAFAKARI

SALA

MAFUNDISHO

MIUJIZA

WATAKATIFU

NYIMBO

PICHA

MAKTABA/LIBRARY

BIKIRA MARIA

KUHUSU SANAMU

KUHUSU KANISA

Kama Una mashaka na Imani na mafundisho ya Kanisa Katoliki soma hapa>>

Mchanganyiko

Katika karamu ya Bwana tunakula na kunywa nini?✔

Neno La Bwana Ni Rungu✔

Katika Mungu mmoja kuna nafsi ngapi?✔

Jimbo Katoliki ni nini?✔

Je, Mungu anazidi kushughulikia viumbe vyake?✔

Yuda Iskarioti✔

Mtakatifu Maria Magdalena✔

Kanuni za kuishi maisha ya ushindi na baraka✔

Tumaini kwa Mungu✔

Mungu alimpa Musa Amri Kumi wapi?✔

Mpya

Mtakatifu Andrea Mtume✔

Ni kwa nini Bikira Maria anaitwa Mama wa Kanisa?✔

Ni zipi Sakramenti za Huduma ya ushirika na utume?✔

Katika amri ya kwanza ya Mungu tumeamriwa nini?✔

Kwa nini Mungu alitupa Amri kumi?✔

Jina Maria Jina Tukufu✔

Mwenye kusali anakutana na majaribu gani?✔

KUJIWEKA CHINI YA ULINZI WA MT. YOSEFU✔

Nani yampasa kupokea Sakramenti ya Kitubio?✔

Kuna majuto ya namna ngapi?✔

ABestRecentPopular
DON'T MISS👉 Nukuu muhimu za Imani katoliki✔

DON'T MISS👉 Dondoo za kweli za Katoliki✔

DON'T MISS👉 Mafundisho muhimu ya Katoliki✔

e

Maneno ya Mungu
📌 Sakramenti ni nini?

Tags
📌 Kipimo cha Rehema ni nini?

Tags
📌 Ekaristi maana yake nini?

Tags
📌 Mbali ya sakramenti, Kanisa linamuadhimisha Mungu vipi?

Tags
📌 Je, kutoa daraja kwa wanaume tu ni kuwakosea haki wanawake?

Tags
📌 Ni zipi sala Muhimu kwa Mkristo?

Tags
📌 Je, ufunuo wa Mungu unaweza kufafanuliwa rasmi na kila mtu?

Tags
📌 Mtu aweza kupokea Sakramenti ya ndoa zaidi ya mara moja?

Tags
📌 Vizuizi vya ndoa ni kitu gani?

Tags
📌 Katika amri ya tatu ya Mungu tumeamriwa nini?

Tags
📌 Ni kwa nini Bikira Maria anaitwa Mama wa Kanisa?

Tags
📌 Mbinguni ni mahali pa namna gani?

Tags
📌 Toharani ni mahali gani?

Tags
📌 Sakramenti ya Ekaristi Takatifu Huifadhiwa wapi?

Tags
📌 Mfano wa sanamu takatifu ni zipi?

Tags
📌 Ishara wazi ya Sakramenti ya Ekaristi Takatifu ni nini?

Tags
📌 Sisi tunahusika na mafumbo hayo kama nani?

Tags
📌 Kwa kuwa tumetoka kwa Mungu na tutarudi kwake, tunapaswa kuishi vipi?

Tags
📌 Mungu alimwumbaje Eva (Hawa)?

Tags
📌 Mara nyingi waamini wanapokea umbo la mkate tu kwa lengo gani?, Kwa nini hatupokei mwili na damu, tunapokea mwili tuu?

Tags
📌 Anayevunja Amri ya Tatu ya Mungu yampasa nini?

Tags
📌 Matokeo ya hukumu hiyo ni nini?

Tags
.

123...1651516516next »
HOME | MAKALA | TAFAKARI | SALA | MAFUNDISHO | MIUJIZA | WATAKATIFU | NYIMBO | PICHA | MAKTABA/LIBRARY | BIKIRA MARIA | KUHUSU SANAMU | KUHUSU KANISA
Kama Una mashaka na Imani na mafundisho ya Kanisa Katoliki soma hapa>>

Help  | Terms of Service  | Privacy  | Report a bug  | Flag as objectionable
Powered by Wikidot.com
Copyright © AckySHINE 2018.

Jumanne, 28 Agosti 2018

Mwanangu

MWANANGU.
1. Mwanangu, mwanamke anaweza kuwa mkeo, mwingine anaweza kuwa mama wa watoto wako, lakini ukipata mwanamke ambae atakuwa kama mama kwako, mama kwa wanao na mama kwa familia, tafadhali mwanangu usimuache huyo!
2. Mwanangu, usimfanye mwanamke wako kuwa ndio wa kupika na kufanya kazi zote za jikoni peke yake, tabia hiyo sio nzuri Kwani hata nyakati zetu, mashamba yetu yalijulikana kwa majina yetu wanaume lakini tulifanya kazi pamoja!
3. Mwanangu, nikikwambia wewe ni kichwa cha familia, simaanishi kutuna kwa pochi lako, usiangalie kabisa pochi yako, angalia kama utaona tabasamu usoni kwa mke wako. Pesa sio kila kitu katika ndoa na haileti ukuu wa familia!
4. Mwanangu, ukitaka kuwa na maisha marefu na ukapunguza misongo ya mawazo, ongea na mkeo pangeni bajeti ya mahitaji yenu, kisha mwache mkeo awe na jukumu la kuratibu mahitaji ya kila siku ya familia kwa kumkabidhi fungu husika hata kama limetokana na michango yenu wawili. wanawake wanajua sana kupanga bajeti na hii haitakuwa rahisi kwa yeye kutumia hela hovyo wakati akijua kuwa nyumbani kuna mahitaji ya msingi, lakini hela zikiwa mikono mwako ataendelea kuomba hata kama utakuwa umeishiwa!
5. Mwanangu, Usithubutu kumpiga mkeo, maumivu ya kipigo hukaa ndani ya moyo wake kwa muda mrefu sana na huacha kidonda ambacho hukawia sana kupona. Ni hatari sana kuishi na mwanamke mwenye majeraha moyoni!
6. Mwanangu, sasa unaamua kuoa,kama bado utaendelea kuishi maisha kama ya ubachela na mke wako, sio muda mrefu utakuwa bachela tena. ukioa Badilika anza kuishi maisha ya mke na mume!
7. Mwanangu, zamani,tulikuwa na wake wengi na watoto wengi kwa sababu tulikuwa na mashamba makubwa na mavuno yalikuwa makubwa, lakini kwa sasa maisha yamebadilika, kwa hiyo mkumbatie mwanamke wako peke yake kwani hakuna ardhi tena na mahitaji ya watoto ni makubwa sana. Angalia ukubwa wa familia yako!
8. Mwanangu, chini ya mwembe ambao nilikuwa nikikutana na mama yako inaweza kuwa ni hoteli kubwa kwa nyakati zenu,lakini kumbuka, kitu pekee tulichoweza kufanya chini ya mwembe ilikuwa ni kukumbatiana pekee.nakushauri ukikutana na marafiki wa kike kikubwa unachoweza kufanya nao ni kupeana mikono na ikizidi ni kukumbatiana hadharani sio vinginevyo!
9. Mwanangu, usibadilike mara utakapoanza kupata mafanikio Zaidi, kuliko kuwahudumia hao viruka njia wa mtaani ambao hawajui mmetoka wapi na mkeo, nakushauri utumie na kufurahia mafanikio yako na mkeo ambae aliweza kusimama imara wakati wote wa mapito yenu magumu.
10. Mwanangu, kumbuka unapoanza kusema au kuona mke wako kabadilika, ujue kuwa kuna kitu ambacho ulikuwa ukikifanya umeacha kukifanya. Jitathmini na anza kufanya au kutimiza wajibu wako.
11. Mwanangu, usijaribu kumfananisha au kumlinganisha mke wako na mwanamke mwingine wa nje, kwani hata yeye anakuvumilia sana na hajakufafanisha na mwanaume mwingine yoyote huko nje na ndio maana aliamua kuwa na wewe.
12. Mwanangu, sasa hivi kuna hiki kitu kinaitwa haki za wanawake, sawa,kama mwanamke anasema ana haki sawa na wewe katika nyumba, basi gawanya mahitaji yote ya ndani kwenu katika sehemu mbili zilizo sawa,halafu timiza nusu yako na mwambie atimize nusu iliyobaki.
13. Mwanangu, nilimuoa mama yako akiwa bado kigoli (bikra) na nilikuwa naenda sana kwao kabla sijamuoa, lakini kutomkuta mkeo bikra kusikufanye umlaumu kuwa alikuwa muhuni, kumbuka wanawake wa enzi zetu na wasasa ni tofauti, ulimchagua mwenyewe na ukigoli wake hukuujua kabisa. Usiingize mambo ya kabla ya ndoa kwenye ndoa yenu.
14. Mwanangu, sikuwapeleka dada zako shule kwa kuwa nilikuwa mjinga kama wazee wengi wa hapa kijiji wasemavyo, tafadhari usifanye ujinga huu, kwani kiwango cha mafanikio ya wanawake sasa kimefanya wanaume waonekane ni watu wa kawaida sana na sio muhimu kama enzi zetu. Ukijaliwa watoto wape elimu.
15. Mwanangu, zamani enzi za ujana wetu, wanawake walikuwa na urembo wa asili, ingawa siwezi kukudanganya, wengine waliongeza urembo kwa kujichora hina na hata kutoboa pua na masikio lakini usisahau hawakuonyesha maumbile yao nyeti hadharani kama sasa. Hakikisha mkeo analijua hili!
16. Mwanangu, mama yako na mimi hatuna hisa katika kila kitu kinachoendelea kwenye maisha yenu, jaribuni kutatua changamoto zenu wenyewe bila kila mara kuja kwetu kuomba usuluhishi. Ndoa ni pamoja na ukomavu wa kutatua changamoto zenu bila kuziuza kama gazeti kwa kila mtu.
17. Mwanangu,nilimnunulia mama yako kifaa cha kupikia vitumbua ili aanzishe mradi wa kuuza vitumbua, pia nilimsaidia kununua cherehani yake ya kwanza, tafadhari msaidie mke wako kutimiza ndoto zake kulingana na uwezo wako kama ambavyo unahangaika kutimiza ndoto zako.
18. Mwanangu, usiache kutusaidia mimi na mama yako, utu uzima una changamoto nyingi sana na Mungu akikujalia utaziona muda ukifika. Pamoja na kutimiza majukumu yako kama baba wa familia kumbuka pia bado tunaishi na wewe ni mtoto wetu.
19. Mwanangu, kila upatapo muda wa kusali, Sali na familia yako, kuna kesho ambayo huijui, ongea na MUNGU wako ambae anajua kila kitu kila siku!
20.NAKUTAKIA MAISHA MEMA YA NDOA MWANANGU….NAKUPENDA!
Unaweza kushare maneno haya kuntu kwa vijana wote ambao hawajaoa na walio kwenye ndoa

Jumamosi, 18 Agosti 2018

Kwanini Wanawake Wengi Siku Hizi Hawaolewi? Jibu Mubashara Hili Hapa

Kwanini Wanawake Wengi Siku Hizi Hawaolewi? Jibu Mubashara Hili Hapa


Kamgisha blog / 1 day ago




KWA NINI WANAWAKE WENGI SIKU HIZI HAWAOLEWI? WENGI HUPISHANA NA WAUME ZAO*

Mwanamke anapigiwa simu kwa namba ngeni, anauliza namba yangu umeitoa wapi? Usiponiambia aliyekupa usinipigie. _HAPO UMEPISHANA NA MUME_

Mwanamke anaingia ndani ya daladala, amekaa na mwanaume, kwa maringo, anachukua earphone na kuweka masikioni na kuwasha mziki ili asiongeleshwe. _HAPO UMEPISHANA NA MUME._

Mwanamke anasalimiwa njiani, anaitikia, akiongeleshwa tena anachuna. _HAPO UMEPISHANA NA MUME._

Mwanamke unatumiwa meseji inbox, hujibu. _HAPO UMEPISHANA NA MUME._

Mwanamke unapigiwa simu na mwanaume, unaona kabisa anakupigia ila hutaki kupokea tu. _HAPO UMEPISHANA NA MUME._

Mwanamke unakwenda gheto kwa mwanaume, una mkoba wako, ukifika muda wa kuondoka unaomba nauli. _HAPO UMEPISHANA NA MUME._

Mwanamke unakwenda kwa mwanaume, badala ya kusonga ugali, cha kwanza unataka chipsi kuku. _HAPO UMEPISHANA NA MUME._

Mwanamke unaanza uhusiano na mwanaume, siku ya pili tu unamwambia bebi sina hela ya vocha. _HAPO UMEPISHANA NA MWANAUME._

Mwanamke upo na mwanaume, anakwambia agiza chochote, bila kujishtukia unaagiza bia. _HAPO UMEPISHANA NA MUME._

Mwanamke unachati na mwanaume, chatting zako ni K, P, Pw. _HAPO UMEPISHANA NA MUME._

Mwanamke unaweka picha mapaja wazi, kifua umebust. _HAPO UMEPISHANA NA MUME._

Mwanamke unamwambia mwanaume akutumie video za ngono kwenye simu. _HAPO UMEPISHANA NA MUME._

_Usilalamike kwamba kwa nini mpaka sasa hivi hujaolewa. Niambie sasa ni mara ngapi umepishana na mume!_

@2017king mafla 

Ijumaa, 10 Agosti 2018

TAFUTA MCHUMBA/MPENZI AMA RAFIKI MPYA HAPA

TASWIRA MPYA
King Mafla

TAFUTA MCHUMBA/MPENZI AMA RAFIKI MPYA HAPA

Ili kuweza kutumiwa majina mapya kila mara pasipo mtu mwengine kujua Bofya Hapa>>

Habar jina naitwa EMERIA wa mbeya nina umri 25 nina mtoto mmoja nimeishia form2  mm sio mref wala mfup
 nipo kati ninatafta mchumba mwenye mapenz ya kweli mwenye kunijal sio mwongo na awe na umri27-33asiwe 
mlev mambo mengine tutaongea namba 0753801714  
Kwajina naitwa Sakina, napatikana pande za Arusha nina umri wa miaka 18, natafuta marafiki wa kuchati nao. namba zangu ni +155689567531
Kwajina naitwa Nasma napatikana pande za Tanga. Natafuta mchumba. awe anajitambua na kujielewa. namba yangu ya simu ni 0763367727
Hello, naitwa Happy ni mkazi wa Dar lakini kwasasa nipo safarini Bukoba. Umri wangu ni miaka 20. Natafuta mchumba kuanzia miaka 25 32. Sifa awe mwaminifu, mpole, mcha mungu na mwenye mapenzi ya kweli. Pia awe tayari kupima VVU. kwa aliyetayari na masharti haya anipigie kwa namba hii 0784962562 
Naitwa karoli nipo dar natafuta rafiki wa kike uwe mweupe awe na umbo na mchamungu awe na umri
 miaka17 hadi 21, namba zangu ni 0718703103
Kwajina naitwa James nipo Dar miaka yangu 23, natafuta mchumba awe anaishi Dar awe na mapenzi ya dhati, umri miaka 18 - 23. Anitafute kwa namba hizi 0688210628
Naitwa GANICUS BIFO natokea daar, Umriwangu ni miaka 22 siomrefusana nasio mfupi wakawaida,
Natafuta MPENZI umri miaka 17 hadi 20
VIGEZO: 1 mpole,2 Asiwe mrefu sana,3 Asiwe na dharau,4 Asiwe mweusi sana,5 Awe na matiti madogo
hatakama yametepeta. Anitafute kupitia namba hizi 0755 566 674, 0767 206 098, 0769 117 903,  0716 002 822.
Habari zenu naitwa ROJA toka morogoro natafuta JIMAMA lakunilea lenye kuhitaji mapenz matamu zaidi  ya ASALI ninauwezo mkubwa wa kumrizisha mpaka akarizika. Kwa alie tayar anitafute.0766357077
NAITWA MUSTAFA NIPO DAR NATAFUTA MCHUMBA MKE.UMRI  WANGU 43 WAKE  38
 SIFA AWE MUISJAM SWALA TANO AWE NA UWEZO KI PESA   AWE MLEFU KIASI MAJI
YA KUNDE  AWE ANAJIIFAZI.ALIYE TAYARI PIGA 0656171667
 Naitwa karoli nipo dar natafuta rafiki wa kike uwe mweupe awe na umbo na mchamungu awe na umri
 miaka 17 hadi21, namba zangu ni 0718703103
Mambo naitwa Abdully toka moro natafuta mchumba sichagui sibagui kwa alietayari namba zangu.
0655352928. Apige au atume sms asibip.
NAITWA SELEMANI NAISHI MBAGARA DAR NATAFUTA MARAFIKI WA KUBADILISHANA
MAWAZO KUUSU MIAKA YANGU NINA UMLI.26 NAPENDA MARAFIKI. NAMBA YANGU. 0712274746
 Naitwa karoli nipo dar natafuta rafiki wa kike uwe mweupe awe na umbo na mchamungu awe na
 umri miaka17 hadi 21, namba zangu ni 0718703103
Naitwa Anifa npo tanga natafuta mchumba mwenye umri wa 20_25 .awe anaish dar mi nna umr wa 19 
awe na elim ya 4m4 au kuendelea anitafute kupitia namba 0786212515 .cmc zitajibiwa
 MIMI JACKSON MUSHI NATAFUTA MCHUMBA MWANAMKE WA KUOA SIFA,1 AWE
MREFUWA WASTANI, 2 AWE NA SURA YA MAJI YA KUNDE AU MWEUSI KIASI,3 AWE
 NA UMBO LANANE,4 AWE HAJAWAHI KUOLEWA AU KUZAA,5 AWE ANAFANYA KAZI
YOYOTEINAYOMWINGIZIA KIPATO,6 AWE NA ELIMU YA FORM FOUR NA KUENDELEA
7 AWE NA HESHIMA KWA WAKUBWA NA WADOGO 8 AWE MWAMINIFU KUPITA
KIASI MIMI NIKO SERIOUS NICHEKI KWA NAMBA HIZO 0769453464
Naitwa anifa npo tanga natafuta mchumba mwenye umri wa 20_25 .awe anaish dar mi nna umr wa 19 
awe na elim ya 4m4 au kuendelea anitafute kupitia namba 0786212515 .cmc zitajibiwa  
Salam kwa watanzania wote, poleni na majukum ya hapa na pale ya kamaisha
Hitaji langu kuu ni kupata marafiki wa kike (18/24) mm kwa jina naitwa jemus (25) huo ndo umr wangu
sf zake mweupe, anaejua samani ya mtu  
mkristo na asitumiye kilevi chochote mwanza ndiko napatikana namba yangu ni 0755107885  
 mimi ni "AHAMIDU"
naishi "MORO GORO" Natafuta"RAFIKI" sichagui"JINSIA"naitaji mwenye kujitambua
 tubadilishane"MAWAZO" karibu kwangu. NAMBA 0787 14 72 14 /0714 59 08 41
Naitwa Adam nipo Dar nina miaka 26 natafuta mpenzi awe na miaka 18 mpaka 20 bila shaka nitampa upendo wa kweli atume mesage kwenye namba 0712 248494

Hello, kwajina naitwa Musa natokea Zanzibar, miaka yangu ni 21. Natafuta marafiki wa kike wa kuchati nao. Wawe na miaka kuanzia 15 - 20. Fursa hii ni kwa waislamu, namba zangu ni 0777867461
Naitwa Hamiyar nipo dar es salaam, mimi ni mvulana mwenye umri wa miaka kati ya 23 - 25. Natafuta mchumba wa kike, sifa awe mwembamba, mrefu, umbo wastani. Awe na miaka 18 - 22. Namba yangu ya simu ni 0719523330
Naitwa Enjo JF NATOKEA MKOA WA TANGA NINA MIAKA 17, kiumbo  smref  sana   wara  smfp  sana  ni  wasaizi  ya  kati   si mnene wa la mwembamba nipo  saizi ya kati 
 kielimu nimeishia  kidato cha pili  kwa ss hivi nipo veta najifuza  upambaji . naitaji marafiki wa kuchati nao  
sichagui jisia wala dini wala kabila   sichagui mwanafunzi wala asio  soma  kiumri mwenye miaka kuanzia  
18au25
  tafadhari siitaji rafiki mwenye matusi naitaji rafiki mturivu  .ambae anapenda kubadilishana mawazo ya
 kimaish\kielimu\ asiwe mnywapombe wala mvuta bangi  .atakaekuwa teyali anitafute .0657056146
Mimi naitwa joseph mhondela-Ng'hm.niko pande za shinyanga.natafta marafik wa kuchati nao,jinsia zote,wakike/kiume ilimladi awe na
 fikiranzuli na awe anamjua mungu yaan awe na dini yoyote inayohusu mungu,na asizidi umri wa
mika 25.kwan mi hapa nina miaka 22.akipatikana atumie no  0785539856.ndo atakua nami masaa 24.
WAPENDWA NAITWA PITTA NIPO DAR NATAFUTA MKE  WAKUOA  JINSIA AWE MKRISTO  MWENYE TABIA  NZURI    NAMBA ANGU NI  0752557577
CHRIS npo ARUSHA  umri  26 kaz mjasiriamali, najtokeza kwa mara nyngne kwan bado cjapata mwanamke alye serious kwa kujenga nae maisha hvyo nahtaj mpenz wa kike mwenye sifa zfuatazo:mnene kias mrefu kias,elimu kuanzia form4,awe na kazi halal yakumpatia kpato either kujiajir au kuajiriwa, umri 20-26 usiwe na mtoto pia usiwe mwanafunzi,kwa walio arusha mtapewa vpau
mbele.VGEZO vzngatiwe 2ma msg kwa 0783453143 au 0754675956  msg zote ztajbiwa.
Naitwa Sara  muheza Tanga Natafuta mchumba wakuish nae c chagul lang wala kabla alie tayar awasiliane
 nam 0719045291 mesej zitajibiwa thnkxy
Naitwa Mlugu wa Dar yombo. 26 ndio umri wangu natafuta rafiki wa kike  alietayari kuwa na mm
 tuwasilane kwa no.0652323603 

Mi naitwa  HASHIMU  nipo bagamoyo nata futa marafiki wakike wa kuchati nao namba zangu ni    0688838775

Habar jina naitwa EMERIA wa mbeya nina umri 25 nina mtoto mmoja nimeishia form2  mm sio mref wala mfup
 nipo kati ninatafta mchumba mwenye mapenz ya kweli mwenye kunijal sio mwongo na awe na umri27-33asiwe 
mlev mambo mengine tutaongea namba 0753801714  

HI naitwa Prince Daniel toka Mbeya natafuta mchumba kuanzi miaka 18-20 my no 0754495725 or
0712797242.

Naitwa Neema natokea dar es salaam nina umri wa miaka 26 natafuta mchumba wa kunioa awe tiyari kuishi na mimi sibaguhi dini wala kabila Anitafute kuipitia no 0762593839 Sms zitajibiwa

Ili kuweza kutumiwa majina mapya kila mara pasipo mtu mwengine kujua Bofya Hapa>>


Home

View web version

Powered by Blogger.